EXCLUSIVE STORY|JE? WAJUA NI KWANINI VIDEO MPYA YA ALLY B "NZELE" HAIKO KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE? PATAKUJA HAPA
Ni takribani wiki moja imepita tangu rais wa Ziki La Nazi ALLY B kuachia kichupa chake kipya kinacho julikana kama NZELE mashabiki wengi wa Youtube wameweza kuskiza ngoma hio lakini bado video hawajaita machoni.
Tarehe nane mwezi huu video hio ndio ilitoka lakini haikuweza kuekwa katika mtandao wa Youtube na mashabiki wamekua wakiiulizia kwasana.
Tukiongea na Director wa video hio ambaye ni mkongwe LIL GUY aliweza kutwambia kwamba video nyingi zimekua zikiekwa katika Youtube na katika Tv etu za humu nchini hazipatikani,tulimnukuu "Wasanii wengi ambao wakiachia video zao Youtube huwa hawajiamini na promo ya kwenye tv na ndio maana LIL GU G VIDEO PRODUCTION na ALLY B tunahakikisha Tv zote za humu nchini na nje zimeipata video hio na zinaicheza ndio tutaweza kuiweka video hio ndani ya Youtube kwahivyo sio ati tumewagawa mashabiki ila kwanza waitizame katika televisheni mwanzo na saa hii bado KTN na zengine" Alisema hayo.
Wiki hii video hio NZELE imeweza kuachiliwa kwa mara ya kwanza ndani ya channel tajika ya CITIZEN TV.
Tarehe nane mwezi huu video hio ndio ilitoka lakini haikuweza kuekwa katika mtandao wa Youtube na mashabiki wamekua wakiiulizia kwasana.
Tukiongea na Director wa video hio ambaye ni mkongwe LIL GUY aliweza kutwambia kwamba video nyingi zimekua zikiekwa katika Youtube na katika Tv etu za humu nchini hazipatikani,tulimnukuu "Wasanii wengi ambao wakiachia video zao Youtube huwa hawajiamini na promo ya kwenye tv na ndio maana LIL GU G VIDEO PRODUCTION na ALLY B tunahakikisha Tv zote za humu nchini na nje zimeipata video hio na zinaicheza ndio tutaweza kuiweka video hio ndani ya Youtube kwahivyo sio ati tumewagawa mashabiki ila kwanza waitizame katika televisheni mwanzo na saa hii bado KTN na zengine" Alisema hayo.
Wiki hii video hio NZELE imeweza kuachiliwa kwa mara ya kwanza ndani ya channel tajika ya CITIZEN TV.
Comments
Post a Comment