Baada ya kuwaporomoshea mashabiki zake nyimbo album mzima bila video hapo mwaka jana msanii aliyetimia vocals na uandishi EDDY TICHA amejitokeza katika kioo chako. Wimbo huu unakwenda kwa jina ZAWADI ambapo video imeweza kuandaliwa na LYNKE JR kutoka kampuni ya DA MUSIK LAB na audio yake kuketiwa chini na produza Morbiz (Sheriff) ndani ya studio za THURNDER SOUND. Pata kuitzama video hio hapa chini...