Huu ni wimbo mpya wa vijana wanaoenukia kwa kasi zaidi wanaojulikana kama WASOJALI BAND kutoka studio za GREEN HOUSE chini ya produza NOIZER. Wimbo unajulikana kama MARADHI YA MOYO. Skiliza na Download hapa.. BONYEZA HAPA KUUPATA WIMBO HUU
Baada ya kimya cha muda msanii kutoka hapa nchini BROWN MAUZO ambaye kwasasa yuko chini ya uongozi wa OGOPA DEEJAYS ameachia mzigo wake mpya unaojulikana kama SIPENDI UKILIA. Wimbo huu umetoka ndani ya studio za KAY-G RECORDS chini ya mkono wa produza TOTTI. Pata kuuskiza na kudownload hapa. BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD WIMBO HUU MPYA..