Skip to main content

Posts

Showing posts from April 14, 2015

EXCLUSIVE VIDEO| ALLY B FEAT PERO-MUSIC| Get to watch new video...

Baada ya kimya kirefu msanii mkali kutoka Kenya ALLY B ameamua kuvunja kimya chake ambapo ameamua kuangusha kichupa kipya akiwa amemshirikisha mtu wake wa karibu ambaye ni msanii anayefanya mtindo wa rapp anayejulikana kama PERU . Kumbuka Peru amekuwa akishirikishwa katika video nyingi za msanii Ally B ambapo kwasasa wameweza kuachia video yao mpya inayojulikana kama MUSIC. Pata kuitazama video hio hapa...

EXCLUSIVE NEW VIDEO| DAZLAH FEAT SUSUMILA-KIDEKIDE| PATA KUTIZAMA VIDEO MPYA HAPA....

Baada ya BANGEREBA msanii kutoka hapa Kenya Dazlah ameachia video yake mpya aliyomshirikisha SUSUMILA inayojulikana kama KIDEDE . Video imeweza kuketiwa chini na director OMAR HAMZA wa ONE MONTAGE  na AUDIO imefanywa na produza TEE ambaye pia ndio manager wa msanii DAZLAH. Pata kuitizama video hio hapa chini...

"KUNA WATU WALIKUWA WANAMTUMIA MSANII KIGOTO KUJINUFAISHA WENYEWE" AMOURY BEYBY AFUNGUNGU...Skiza Live hapa

Mapema wiki hii hit maker wa BARIDI pamoja na KITETE kupitia mtandao wake wa Facebook na Instagram aliweza kuandika kuwa na kuweka wazi kuwa yeye ndiye atakaye simamia video ya msanii anayekuja kwa kasi sana kutoka hapa mkoani Pwani anayejulikana kama Kigoto. Amoury aliweza kuandika haya katika mitandao yake " Kigoto Mmbonde ni kati ya wasanii ninao wakubali sana kimziki,,ni mtunzi hodari,,msanii mnyenyekevu..hana kiburi na majivuno.. mwenye bidii,,anafanya nyimbo zenye ubunifu wa hali ya juu na ujumbe wa kueleweka,,kutokua na sapot kwake kumenitia unyonge sana,,japo baadhi ya wasanii wamemtenga,na ameandika hits nyingi zilizofanya vyema,,kwani siko tayari kuona kipaji na mtunzi bora aje akate tamaa baadae,,ndio maana mimi binafsi kama ‪ #‎ARTIST_001 nitamsimamia VIDEO YA nyimbo yake mpya ‪ #‎napenda_vizuri iliotengenezwa na PRODUCER NA MANAGER WAKE Tk Mbili .. najua ni sapryz kwako mdogo wangu ila mikakati yote nimetayarisha tayary na DIRECTOR / PRODUCER na MANAGER W