Skip to main content

"KUNA WATU WALIKUWA WANAMTUMIA MSANII KIGOTO KUJINUFAISHA WENYEWE" AMOURY BEYBY AFUNGUNGU...Skiza Live hapa


Mapema wiki hii hit maker wa BARIDI pamoja na KITETE kupitia mtandao wake wa Facebook na Instagram aliweza kuandika kuwa na kuweka wazi kuwa yeye ndiye atakaye simamia video ya msanii anayekuja kwa kasi sana kutoka hapa mkoani Pwani anayejulikana kama Kigoto.

Amoury aliweza kuandika haya katika mitandao yake "Kigoto Mmbonde ni kati ya wasanii ninao wakubali sana kimziki,,ni mtunzi hodari,,msanii mnyenyekevu..hana kiburi na majivuno.. mwenye bidii,,anafanya nyimbo zenye ubunifu wa hali ya juu na ujumbe wa kueleweka,,kutokua na sapot kwake kumenitia unyonge sana,,japo baadhi ya wasanii wamemtenga,na ameandika hits nyingi zilizofanya vyema,,kwani siko tayari kuona kipaji na mtunzi bora aje akate tamaa baadae,,ndio maana mimi binafsi kama #‎ARTIST_001 nitamsimamia VIDEO YA nyimbo yake mpya #‎napenda_vizuri iliotengenezwa na PRODUCER NA MANAGER WAKE Tk Mbili .. najua ni sapryz kwako mdogo wangu ila mikakati yote nimetayarisha tayary na DIRECTOR / PRODUCER na MANAGER WANGU Guy G Vid Produzza,, #‎HUU_MWAKA_WETU" .


Hapo jana kupitia PILIPILIFM ndani ya kipindi cha MWAKE MWAKE kinachoongozwa na DOUBLE C yaani CHIGULU na CHRISS msanii huyo aliweza kufunguka zaidi na kusema yake ya moyoni, Amoury aliweza kufunguka kuwa kuna wasanii walikuwa wanamtumia msanii huyo ili kujinufaisha wao wenyewe.

Pata kuskiza Maojiano hayo live hapa..

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..