Skip to main content

Posts

Showing posts from March 25, 2017

THE AWARD WINNING ARTIST AFUNGUKA KUWA HAFANYI MUZIKI USHINDANI AMA KUSHINDANA NA WASANII WENZAKE ILA KUFAIDISHA MAFANS NA KUSAIDIA JAMII Soma hapa zaidi

Ni msanii aliyeshinda tuzo ya “ THE BEST UPCOMING ARTIST OF THE YEAR ”, mwaka jana katika tuzo za KENYA  COAST  MUSIC AWARD S zinazoongozwa na BEYONCE. Akiongea na THE GREATMULLEYMEDIA mapema wiki hii aliweza kutudokezea kwamba yeye ni mmoja ya wasanii wakongwe na wanaofanya mziki mzuri ivo basi yeye anafanya mziki kuelimisha jamii pamoja na kuisadia jamii na sio kwenye maswala ya ushindani ama ubishow. Hit maker huyo wa PESA anayekwenda kwajina la JAFARYZOH A.k.a RYZLEEN alisema pia hivi karibuni ndani ya mwezi huu wanne atakua anafungua mradi wake ambao itakua anazuru katika nyumba za mayatima yaani orphanage kusaidia wasio jiweza pamoja na wale ambao wazazi wao wameweza  kutokomea kwa janga la ukimwi ivyo basi yeye anafanya kwaajili ya jamii ila sio sifa za kuchezwa katika vituo uku jamii inaangamia alisema uwezo alionao atautumia kusaidia wasicho nacho. Mwezi huu wanne pia ndio atakua anashoot vieo ya wimbo ambao meuachia unaokwenda kwajina MAPENZI KIDOND

EXCLUSIVE STORY||||JE MSANII KUTOKA MOMBASA CHIKUKU A.K.A CHIKUZEE AMESAJILIWA KATIKA STUDIO Z A W.C.B AMA A MEENDA MATEMBEZI KATIKA RECORD LABLE HIO YA WASAFI? Patakujua kwakubonyeza hapa.,

Wiki hii msanii aliyetamba sana katika mitandao ya kijamii na kuwa gumzo mtaani ni msanii kutoka kisiwa cha Mombasa anayekwenda kwajina CHIKUZEE .kwakupiga picha na wsafi. Kama tunavyojua kila msanii anandoto zake ana anahitaji zitimie na kiukweli W.C.B ndio Record lable ambayo kila msanii anakiu cha kuingia ili kupiga kazi na Wasafi hasa wasanii kutoka MOMBASA ,Wiki hii tuliweza kukumbana na picha za msanii CHIKUZEE akiwa ndani ya WCB japo katika picha izo hajaweza kuweka caption ya kuwa amesajiliwa kwasababu kama tunavyojua na desturi ya USAFINI ukigonga kalamu katika papers zao kitu cha kwanza unaingia katika mitandao yao mwanzo wa manager mkuu hapa namzungumzia SALLAM SK ukipenda BOSS MENDEZ pili BABU TALE tatu ndio unaingia katika mtandao wa starboy kutoka Afrika Mashariki ambaye kwasasa mtandao wake umegonga followers Milioni tatu nukta tano yaani  3.5M. apa namzungumzia SIMBA. Cha kushangaza na kustaajabisha kweli tumemuona CHIKUZEE ndani ya W.C.B ila hatujajua k