Skip to main content

Posts

Showing posts from August 24, 2015

NEW VIDEO ALERT| TRIPPLE BOYS-MAPENZI HAKUNA FEAT CAPTAINLUI| Watch it here...

Pata kuuitzama video mpya ya wasanii wanaojulikana kama TRIPPLE BOYS wakiwa wamemshirikisha MWANAMFAACAPTAIN LUI inayokwenda kwa jina MAPENZI HAKUNA wakiwa pamoja na LOVE MUMS. Pata kuitiza hapa..

NEW AUDIO| SERAH SARAH-CHEZA KIDOGO-FEAT DAZLAH KIDUCHE| KAMA HUJAIPATA IPATE HAPA...

Download SERAH SARAH feat DAZLA-CHEZA KIDOGO hapo chini.. BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD..

WASOJALI BAND WANYIMWA NAFASI YAKUPIGA SHOW MANAGER WAO AMWAGIA LAWAMA SHOW YA TUKUTANE MOMBASA...Soma taarifa nzima hapa

Wikendi hii ilikua ni ndefu ya siku kumi za burudani ambapo kulikuwa na tamasha la MOMBASA INTERNATIONAL CULTURAL ambapo liliweza kutamatika hapo jana katika uwanja wa MAMANGINA. Kati ya wasanii waliopiga show hio ni SUSUMILA,DAZLAH,AMOURY BEYBY pamoja na bongo finest ALLY KIBA,Kati ya hao kikundi cha vijana wanne wanaokuja katika game kwa kasi WASOJALI band inasemekana hawakupewa nafasi nzuri juu ya stage kufanya mambo yao. AMOURY BEYBY akiwa jukwaani. Katika ukurasa wa facebook wa WASOJALI BAND waliweza kuandika maneno haya " Mombasa international Cultural festival hawakutupa uhuru wa kuperform kwa stage kabisa hatukufurahia show ya festiva l" Yakiambatanishwa na picha wakiwa juu ya jukwaa,tukiongea na manager wa vijana hao anayetambulika kama ATHMAN BABZ alisema "Vijana walikuwa wamejipanga vizuri na show hio lakini muda waliopewa juu ya jukwaa haukunifurahisha kabisa kwani walipelkwa mbio ni kama walikua vitani" Alisema hayo Meneja Athman Babaz.