Skip to main content

Posts

Showing posts from October 27, 2016

EXCLUSIVE STORY||| HIKI NDIO KIWANGO CHA HELA MADAM BOSS AKOTHEE ANALIPISHA UKITAKA COLLABO NAYE WAAAAH!! JIPANGE MTU WANGU .....

Kama ilivyo ahadi yangu kwako, ni kuhakikisha haupitwi na story yoyote mtu wangu na leo nimeipata hii kutoka kwa msanii wa muziki kutoka hapa nchini Kenya, Akothee. Inawezekana wengi wetu tunafahamu tu kwamba ni msanii na labda kwasababu ana historia ya kuwa na pesa nyingi basi hata muziki anaufanya tu kama starehe. Kwa mujibu wa Citizen, taarifa hii ikufikie kama ni msanii na unahitaji kufanya collabo na Akothee basi unatakiwa kuandaa mfuko wako kisawasawa. Akothee ametangaza kiwango cha Pesa ambacho utatakiwa kumlipa ili uweze kuingia naye studio kuwa ni Shilingi Milioni 1 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi Milioni 21 za Tanzania. “ Ukiwa msanii, hautakiwi kukimbilia kusaini deal za record labels, uanweza kutengeneza pesa zako kuoitia social media. Usijikalishe na kusubiri pesa zije. Sasa kwa upande wangu wala usijisumbue kunipigia simu kama hauna shilingi Milioni 1 za kufanya collabo ,” – Akothee Akothee amesema anatafikiria kusaini deal na lebel za Marekani endapo tu zitak

EXCLUSIVE STORY||| MSANII BENSO AAMUA KATI YA WALE WATAKUA WANAPIGA SHOW ZA COUNTY PIA YEYE ATAKUA NDANI KWA HICHI ALICHOKIFANYIA COUNTY 001 YA MOMBASA.....SOMA HAPA ZAIDI.

Msanii BENSO anayetambulika sana kwa mtindo wake wa kufoka ( Rapp ) sasa ameamua hatoachwa tena nyuma na matamasha ya MOMBASA COUNTY akiwa ameshirikiana na KIGOTO pamoja na GEEGEE . Starboy huyo aliweza kumchukua msanii mwenzake KIGOTO pamoja na mwanadada aliyejawa na sauti iliyo mshindaga ibilisi yaani mwenye sauti ya mvuto anayekwenda kwajina GEE GEE ,tukikumbuka pia mwanadada huyo waliweza kushirikiana katika wimbo wakwanza uliokuwa unajulikana kama PHONTHO . Round hii amekuja na kitu kipya kinachokwenda kwajina KARIBU MOMBASA ambapo ngoma hii imeweza kuandaliwa na vichwa viwili kutoka nchi tofauti apa namuongelea SHIRKO kutoka MKUBWA NA WANAWE (Tz) pamoja na BEATZBOY kutoka hapa nchini Kenya,Karibu Mombasa ni wimbo unaozungumzia Nakshi pamoja na Mahandhari ya mji huu unaojulikana kama COUNTY001. Pakua Wimbo huo hapa Pamoja upate kuitizama video ya Mistari ya wimbo huo. BONYEZA HAPA KUIPAKUA Click hapa kuitazama video ya MISTARI ya wimbo huo.