EXCLUSIVE STORY||| MSANII BENSO AAMUA KATI YA WALE WATAKUA WANAPIGA SHOW ZA COUNTY PIA YEYE ATAKUA NDANI KWA HICHI ALICHOKIFANYIA COUNTY 001 YA MOMBASA.....SOMA HAPA ZAIDI.
Msanii BENSO anayetambulika sana kwa mtindo wake wa kufoka (Rapp) sasa ameamua hatoachwa tena nyuma na matamasha ya MOMBASA COUNTY akiwa ameshirikiana na KIGOTO pamoja na GEEGEE.
Starboy huyo aliweza kumchukua msanii mwenzake KIGOTO pamoja na mwanadada aliyejawa na sauti iliyo mshindaga ibilisi yaani mwenye sauti ya mvuto anayekwenda kwajina GEE GEE,tukikumbuka pia mwanadada huyo waliweza kushirikiana katika wimbo wakwanza uliokuwa unajulikana kama PHONTHO.
Round hii amekuja na kitu kipya kinachokwenda kwajina KARIBU MOMBASA ambapo ngoma hii imeweza kuandaliwa na vichwa viwili kutoka nchi tofauti apa namuongelea SHIRKO kutoka MKUBWA NA WANAWE (Tz) pamoja na BEATZBOY kutoka hapa nchini Kenya,Karibu Mombasa ni wimbo unaozungumzia Nakshi pamoja na Mahandhari ya mji huu unaojulikana kama COUNTY001.
Pakua Wimbo huo hapa Pamoja upate kuitizama video ya Mistari ya wimbo huo.
BONYEZA HAPA KUIPAKUA
Click hapa kuitazama video ya MISTARI ya wimbo huo.
Starboy huyo aliweza kumchukua msanii mwenzake KIGOTO pamoja na mwanadada aliyejawa na sauti iliyo mshindaga ibilisi yaani mwenye sauti ya mvuto anayekwenda kwajina GEE GEE,tukikumbuka pia mwanadada huyo waliweza kushirikiana katika wimbo wakwanza uliokuwa unajulikana kama PHONTHO.
Round hii amekuja na kitu kipya kinachokwenda kwajina KARIBU MOMBASA ambapo ngoma hii imeweza kuandaliwa na vichwa viwili kutoka nchi tofauti apa namuongelea SHIRKO kutoka MKUBWA NA WANAWE (Tz) pamoja na BEATZBOY kutoka hapa nchini Kenya,Karibu Mombasa ni wimbo unaozungumzia Nakshi pamoja na Mahandhari ya mji huu unaojulikana kama COUNTY001.
Pakua Wimbo huo hapa Pamoja upate kuitizama video ya Mistari ya wimbo huo.
BONYEZA HAPA KUIPAKUA
Comments
Post a Comment