EXCLUSIVE PHOTOS OF FALSAFA ZA MWENDA POLE ALBUM LAUNCH BY FIKRA TEULE....If you missed the event check the photos here
Jana katika ukumbi wa ALLIANCE FRANCAISE palichimbaka ambapo msanii wa HIPHOP anayejulikana kama FIKRA TEULE alikua anaachia album yake inayojulikana kama FALSAFA ZA MWENDA POLE,ambapo alikuwa na wasanii wenzake wa HipHop kama OHMSLAW MONTANA,PETROOZE,ANONYMOUS VEDETTE na wengine wengi pamoja na Dj Elon kutoka Pwanifm. Hapo nyuma kulikwa na fununu zinazoenea kuwa mambo yakuachia album ni kitambo lakini msanii huyo FIKRA alisema hizo ni fikra potofu zilizo pitwa na wakati na kutia masikio pamba. Hizi ndio baadhi ya picha tulizofanikiwa kuzipata katika tamasha hilo.....