Skip to main content

WEMA SEPETU ATOA MAJIBU YAKE KUHUSU YEYE KUMBUSU AUNTY EZEKIEL MDOMONI……yasome hapa.





 
Picha zinazomuonyesha Wema Sepetu akimbusu rafiki yake Aunt Ezekiel zimeleta maswali mengi kutoka kwa watu wanaofuatilia maisha ya mastaa hawa, yakiwemo je ni wapenzi wa jinsia moja au walikuwa wamelewa wakati wanafanya mambo haya.
 


Kwenye Interview Wema alisema "Yes i kissed her like i kiss any person who is so close to me" Wema aliendelea kusema "Its not only her, i kiss my mum, my daughter, ma sister , people who are close to me i kiss them "

Wema alisema kuwa kukiss mtu ambaye yupo karibu na wewe sana ni kawaida na haswa wasichana wanaopendana na ni marafiki ni kawaida kwao kukiss kwenye lips na sio denda kama inavyotafsiriwa.


"Kissing on the lips kwa girls to girls is very very okey, its not ok kwa men to girls or men to men, kwa girls to girl kama u r close and attached, its ok, i kiss my mum and my sister on thier lips" alisema hayo



Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..