HII NDIO GARI AMBAYO MSANII KCEE KUTOKA NIGERIA ANAMILIKI ILIYO NA RANGI YA DHAHABU…Tizama picha hapa…
Anaitwa Kcee ni staa wa mziki kutoka
Nigeria, inaaminika kua msanii huyu ni kati ya wasanii wachache sana wenye
mkwanja mrefu kutoka Nigeria. Ndio msanii pekee kutoka Afrika ambae ameweza
fanya kolabo na Nicki Minaj. Mpya kutoka kwa jamaa huyu ni gari yake mpya aliyonunua
aina ya Cadillac Escalade ikiwa na rangi ya Dhahabu.
Hizi ni baadhi ya
picha za gari na magari anayomiliki huku yote yakiwa ni ya gharama…
Comments
Post a Comment