Skip to main content

EXCLUSIVE STORY||| HIKI NDIO KIWANGO CHA HELA MADAM BOSS AKOTHEE ANALIPISHA UKITAKA COLLABO NAYE WAAAAH!! JIPANGE MTU WANGU .....

Kama ilivyo ahadi yangu kwako, ni kuhakikisha haupitwi na story yoyote mtu wangu na leo nimeipata hii kutoka kwa msanii wa muziki kutoka hapa nchini Kenya, Akothee. Inawezekana wengi wetu tunafahamu tu kwamba ni msanii na labda kwasababu ana historia ya kuwa na pesa nyingi basi hata muziki anaufanya tu kama starehe.

Kwa mujibu wa Citizen, taarifa hii ikufikie kama ni msanii na unahitaji kufanya collabo na Akothee basi unatakiwa kuandaa mfuko wako kisawasawa. Akothee ametangaza kiwango cha Pesa ambacho utatakiwa kumlipa ili uweze kuingia naye studio kuwa ni Shilingi Milioni 1 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi Milioni 21 za Tanzania.

Ukiwa msanii, hautakiwi kukimbilia kusaini deal za record labels, uanweza kutengeneza pesa zako kuoitia social media. Usijikalishe na kusubiri pesa zije. Sasa kwa upande wangu wala usijisumbue kunipigia simu kama hauna shilingi Milioni 1 za kufanya collabo,” – Akothee

Akothee amesema anatafikiria kusaini deal na lebel za Marekani endapo tu zitakuwa na maslahi ya kueleweka.

Star huyo wa single ya ‘Yuko Moyoni’ hivi karibuni amefanikiwa kushinda tuzo mbili za best East African female artist zilizotolewa na waandaaji wa jarida la African Muzik Magazine (AFRIMMA) pamoja na African Entertainment Awards USA (AEAUSA).

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..