Skip to main content

WASOJALI BAND WANYIMWA NAFASI YAKUPIGA SHOW MANAGER WAO AMWAGIA LAWAMA SHOW YA TUKUTANE MOMBASA...Soma taarifa nzima hapa

Wikendi hii ilikua ni ndefu ya siku kumi za burudani ambapo kulikuwa na tamasha la MOMBASA INTERNATIONAL CULTURAL ambapo liliweza kutamatika hapo jana katika uwanja wa MAMANGINA.


Kati ya wasanii waliopiga show hio ni SUSUMILA,DAZLAH,AMOURY BEYBY pamoja na bongo finest ALLY KIBA,Kati ya hao kikundi cha vijana wanne wanaokuja katika game kwa kasi WASOJALI band inasemekana hawakupewa nafasi nzuri juu ya stage kufanya mambo yao.

AMOURY BEYBY akiwa jukwaani.


Katika ukurasa wa facebook wa WASOJALI BAND waliweza kuandika maneno haya "Mombasa international Cultural festival hawakutupa uhuru wa kuperform kwa stage kabisa hatukufurahia show ya festival" Yakiambatanishwa na picha wakiwa juu ya jukwaa,tukiongea na manager wa vijana hao anayetambulika kama ATHMAN BABZ alisema "Vijana walikuwa wamejipanga vizuri na show hio lakini muda waliopewa juu ya jukwaa haukunifurahisha kabisa kwani walipelkwa mbio ni kama walikua vitani" Alisema hayo Meneja Athman Babaz.


Hii ni Picha ya uwanja wa Mamangina

Tizama Video yao Latest hapa chin i inayojulikana kama SINA BAHATI.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..