THE AWARD WINNING ARTIST AFUNGUKA KUWA HAFANYI MUZIKI USHINDANI AMA KUSHINDANA NA WASANII WENZAKE ILA KUFAIDISHA MAFANS NA KUSAIDIA JAMII Soma hapa zaidi
Ni msanii aliyeshinda tuzo ya “THE BEST UPCOMING ARTIST OF THE YEAR”,mwaka
jana katika tuzo za KENYA COAST MUSIC AWARDS zinazoongozwa na BEYONCE.
Akiongea na THE GREATMULLEYMEDIA mapema
wiki hii aliweza kutudokezea kwamba yeye ni mmoja ya wasanii wakongwe na
wanaofanya mziki mzuri ivo basi yeye anafanya mziki kuelimisha jamii pamoja na
kuisadia jamii na sio kwenye maswala ya ushindani ama ubishow.
Hit maker huyo wa PESA anayekwenda kwajina
la JAFARYZOH A.k.a RYZLEEN alisema pia hivi karibuni ndani ya mwezi huu wanne
atakua anafungua mradi wake ambao itakua anazuru katika nyumba za mayatima
yaani orphanage kusaidia wasio jiweza pamoja na wale ambao wazazi wao wameweza kutokomea kwa janga la ukimwi ivyo basi yeye
anafanya kwaajili ya jamii ila sio sifa za kuchezwa katika vituo uku jamii
inaangamia alisema uwezo alionao atautumia kusaidia wasicho nacho.
Mwezi huu wanne pia ndio atakua anashoot
vieo ya wimbo ambao meuachia unaokwenda kwajina MAPENZI KIDONDA aliyomshirikisha
mkongwe C.L.D.
Msanii huyo pia kwasasa yuko katika harakati ya kununua vyombo vya ku shoot video ili pia kusaidia wasanii wenzake ambao wako vizuri kuimba ila maswala ya kutoa video yanawatatiza,kwasasa ameweza kuagiza RONIN camera GH4 pamoja na drone
Pata kuupakua wimbo huo kwa link hii hapa
chini.
Comments
Post a Comment