EXCLUSIVE STORY||||JE MSANII KUTOKA MOMBASA CHIKUKU A.K.A CHIKUZEE AMESAJILIWA KATIKA STUDIO Z A W.C.B AMA A MEENDA MATEMBEZI KATIKA RECORD LABLE HIO YA WASAFI? Patakujua kwakubonyeza hapa.,
Wiki hii msanii aliyetamba sana katika
mitandao ya kijamii na kuwa gumzo mtaani ni msanii kutoka kisiwa cha Mombasa
anayekwenda kwajina CHIKUZEE.kwakupiga picha na wsafi.
Kama tunavyojua kila msanii anandoto zake
ana anahitaji zitimie na kiukweli W.C.B ndio Record lable ambayo kila msanii
anakiu cha kuingia ili kupiga kazi na Wasafi hasa wasanii kutoka MOMBASA ,Wiki
hii tuliweza kukumbana na picha za msanii CHIKUZEE
akiwa ndani ya WCB japo katika picha izo hajaweza kuweka caption ya kuwa
amesajiliwa kwasababu kama tunavyojua na desturi ya USAFINI ukigonga kalamu
katika papers zao kitu cha kwanza unaingia katika mitandao yao mwanzo wa
manager mkuu hapa namzungumzia SALLAM SK ukipenda BOSS
MENDEZ pili BABU TALE tatu
ndio unaingia katika mtandao wa starboy kutoka Afrika Mashariki ambaye kwasasa
mtandao wake umegonga followers Milioni tatu nukta tano yaani 3.5M. apa namzungumzia SIMBA.
Cha kushangaza na kustaajabisha kweli
tumemuona CHIKUZEE ndani ya W.C.B ila hatujajua kama amesajiliwa na lau
angekuwa amegonga kalamu WASAFINI basi tungeweza kukumbana na picha zake katika
akaunti za wasafi wote kama alivyofanyiwa RICH MAVOKO,HARMONIZE pamoja na
RAYVANY .
Comments
Post a Comment