JE WAJUA KWAMBA SUSUMILA NDIO CHANZO CHA KELECHI AFRICANA KUKUTANA NA ATHMAN BABAZ C.E.O WA "KUBWA ENT"
Kiukweli wasanii wengi wadogo wakiingia katika mziki hujawakabadilika na kuwa watu wengine tofauti katika jamii na kusahau ata walio washika mkono na kuwafikisha mahali walipo.
Katika pitepite zetu tuliweza kukutana na msanii anayekuja kwa kasi zaidi ndani tasnia ya mziki humu nchini anayejulikana kama Salim Hassan almaarufu kama KELECHI AFRICANA.
Alitueleza kwamba yeye alianza mziki mwaka wa 2011 na alijiamini kuwa ubavu wakupigana kisauti anao na alitamani sana japo siku moja nyimbo zake ziate kuchezwa ata ndani ya kituo kimoja cha runinga lakini wakati huo alikua hanamdhamini na kiwango cha pesa kulipia video kilikua kinampiga chenga sana.
Kelechi alielezea kwamba nyimbo yake ya kwanza aliweza kuirecord katika studio inayojulikana kama GHETTO RECORDS ambayo iko mitaa ya Likoni chini ya produza HAMMADOO na track hio aliipa jina la KUCHIKUCHI ambayo hio ndio iliomtambulisha kama Kelechi na ndio iinayomlea hadi leo.
"KUCHIKUCHI ni track ambayo iliweza kunifanya hadi leo najulikana lakini track hio haikufanya vizuri sana katika vituo vyetu kwasababu ni ngoma ambayo kwanza ilifanywa na producer mdogo na studio pia ambayo haijapanuka vile ya GHETTOH RECORDS,lakini ndio iliweza kunikutanisha na watu wakubwa maana nilitamani sana kufanya kazi chini ya MISHE MISHE EMPIRE ambayo inamilikiwa na SUSUMILA lakini wakati huo Susumilah ndio alikua ameandamwa na madai kwamba anatumia wasanii wadogo ilikujikimu,nilipomwambia ivo aliweza kuniambia nimtumia ngoma zangu nikamtumia BOMBORIKA na KUCHIKUCHI na kuipenda sana maana walikua wamefanya ngoma moja na BUSY K iliokua inamuonekano kama wa KUCHIKUCHI,aliweza kuniambia ninaweza na kunihaidi atakama hatoniingiza katika MISHE MISHE EMPIRE lakini atanisaidia,siku moja nimekaa tu kitaa Susu akinipigia simu na kuniambia ni vuke town nilipofika uko aliweza kunikutanisha na manager wa group ya WASOJALIBAND ambaye pa ndio c.e.o wa KUBWA ENT na kumuolezea kunihusu mimi na hapo hapo hapo niliweza kumsikizisha nyimbo zangu nilizo record na kuzipenda basi tulianza mikakati na tuliweza kuachia nyimbo angu iliojulikana kama BOMBORIBO pamoja na hapo kulikua na nyimbo ya WASOJALI BAND na kuniambia nieke sauti na ndio hio nyimbo ikanitambulisha inayojulikana kama NITALIA NAWE so namshukuru sana SUSUMILA pamoja na meneja wangu ATHMAN BABAZ." Alieleza hayo Kelechi.
Katika pitepite zetu tuliweza kukutana na msanii anayekuja kwa kasi zaidi ndani tasnia ya mziki humu nchini anayejulikana kama Salim Hassan almaarufu kama KELECHI AFRICANA.
Alitueleza kwamba yeye alianza mziki mwaka wa 2011 na alijiamini kuwa ubavu wakupigana kisauti anao na alitamani sana japo siku moja nyimbo zake ziate kuchezwa ata ndani ya kituo kimoja cha runinga lakini wakati huo alikua hanamdhamini na kiwango cha pesa kulipia video kilikua kinampiga chenga sana.
Kelechi alielezea kwamba nyimbo yake ya kwanza aliweza kuirecord katika studio inayojulikana kama GHETTO RECORDS ambayo iko mitaa ya Likoni chini ya produza HAMMADOO na track hio aliipa jina la KUCHIKUCHI ambayo hio ndio iliomtambulisha kama Kelechi na ndio iinayomlea hadi leo.
"KUCHIKUCHI ni track ambayo iliweza kunifanya hadi leo najulikana lakini track hio haikufanya vizuri sana katika vituo vyetu kwasababu ni ngoma ambayo kwanza ilifanywa na producer mdogo na studio pia ambayo haijapanuka vile ya GHETTOH RECORDS,lakini ndio iliweza kunikutanisha na watu wakubwa maana nilitamani sana kufanya kazi chini ya MISHE MISHE EMPIRE ambayo inamilikiwa na SUSUMILA lakini wakati huo Susumilah ndio alikua ameandamwa na madai kwamba anatumia wasanii wadogo ilikujikimu,nilipomwambia ivo aliweza kuniambia nimtumia ngoma zangu nikamtumia BOMBORIKA na KUCHIKUCHI na kuipenda sana maana walikua wamefanya ngoma moja na BUSY K iliokua inamuonekano kama wa KUCHIKUCHI,aliweza kuniambia ninaweza na kunihaidi atakama hatoniingiza katika MISHE MISHE EMPIRE lakini atanisaidia,siku moja nimekaa tu kitaa Susu akinipigia simu na kuniambia ni vuke town nilipofika uko aliweza kunikutanisha na manager wa group ya WASOJALIBAND ambaye pa ndio c.e.o wa KUBWA ENT na kumuolezea kunihusu mimi na hapo hapo hapo niliweza kumsikizisha nyimbo zangu nilizo record na kuzipenda basi tulianza mikakati na tuliweza kuachia nyimbo angu iliojulikana kama BOMBORIBO pamoja na hapo kulikua na nyimbo ya WASOJALI BAND na kuniambia nieke sauti na ndio hio nyimbo ikanitambulisha inayojulikana kama NITALIA NAWE so namshukuru sana SUSUMILA pamoja na meneja wangu ATHMAN BABAZ." Alieleza hayo Kelechi.
Comments
Post a Comment