Skip to main content

#TGM_EXCLUSIVE:HAYA NDIO MAPENZI YA MAMA KWA MWANAWE SOMA HAPA UONE BAWAZIR ALICHOFANYIWA NA MAMAKE MZAZI WIKENDI ILIOPITA....

Wasanii wengi wanapoingia katika tasnia ya mziki wanakuwa na uoga pamoja na wasiwasi ili wazazi wao wasijue na wengi hufanya siri ata wanapoenda studio wazazi wao huwa ngumu kujua.

Hapa imekuwa tofauti kabisa kupitia mamake msanii ambaye anakuja vizuri katika tasnia hii ya muziki wa Kenya apa namzungumzia BAWAZIR BEYBY.

Tofauti yake imekuwa hapa kwani mamake msanii huyu ameweza kujitolea kwa hali na mali kumsukuma mwanawe kimziki bila kuangalia nyuma wala kuskia la muadhini wala la mteka maji msikitini.

Wikendi hii kulikua na tuzo ambazo zilikuwa zinafanyika katika ukumbi wa SEAFRONT ambapo msanii huyu aliweza kupewa tuzo kama msanii anayechipuka,kitengo chake kilipotangazwa kwa bahati mbaya ama nzuri msanii huyu hakuweza kujitokeza na umati ulibaki kinywa wazi pale mamake mzazi BAWAZIR BEYBY aliweza kuenuka alipokuwa amekaa na kuifuata tuzo hio ya mwanawe umati wote ulibaki kinywa wazi wakijiuliza maswali lakini hakuna aliye kuwa na jibu mbali na mamake msanii huyo ambapo kitendo hicho ni nadra sana kutende na mapenzi haya tumeweza kuyaona kutoka kwa msanii DIAMOND PLATNUMZ ambaye ndie msanii pekee anayepewa sapot kubwa na mzazi wake.
 Kumbuka BAWAZIR ni mtoto wa msanii nguli kutoka hapa Kenya anayetambulika kama ALLY B  hatuoni msanii huyo akimshughulikia mwanawe.

Kama hujapata kuitizama video ya msanii huyo pata kuitizama hapa inayojulikana kama NATAMANI

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.