Ukizungumzia sauti zenye mvuto na kunata kutoka Pwani ya Kenya na Kenya kwa ujumla basi huyu kijana anayekwenda kwajina IDD SINGER kama hatakaa katika nafasi yakwanza basi ni ya pili.
Kwa mara nyengine tena amerudi katika studio za NUMBER ONE RECORDS nachini ya produza HITMAKER TK MBLI na kuachia mzigo mpya unaokwenda kwajina SAMIA.
Katika nyimbo hii kuna mashairi mazito na ujumbe pamoja na sauti tamu zaidi.
Download HAPA SAMIA
Kwa mara nyengine tena amerudi katika studio za NUMBER ONE RECORDS nachini ya produza HITMAKER TK MBLI na kuachia mzigo mpya unaokwenda kwajina SAMIA.
Katika nyimbo hii kuna mashairi mazito na ujumbe pamoja na sauti tamu zaidi.
Download HAPA SAMIA
Comments
Post a Comment