Skip to main content

JUMBA LA BIG BROTHER LATEKETEA MOTO..Tizama picha hapa>>


Habari ya kusikitisha kwa mashabiki wa shindano la Big Brother Africa, Jumba linalotumika kufanyia shindano hilo lililoko Johannesburg, Afrika Kusini limeteketea kwa moto September 2.
Kutokana na tukio hilo, M-Net na Endemol South Africa wameeleza kuwa wamelazimika kubadili ratiba ya shindano hilo msimu huu lililopewa jina la ‘Big Brother Hotshots’ na halitaanza Jumapili, September 7 kama ilivyotarajiwa hapo awali.

Chanzo cha moto huo hadi sasa hakijajulikana na makampuni hayo yameeleza kuwa uchunguzi wa kina utaanza mara moja.
Makampuni hayo yamepata changamoto kubwa kutokana na tatizo hilo kwa kuwa vifaa vinavyotumika kufanyia uzalishaji ni vya aghali na adimu sana hivyo wameeleza kuwa ni vigumu kupata vifaa mbadala hivi punde.
“Kila juhudi itafanywa kutafuta ufumbuzi wa tatizo haraka iwezekanavyo kuhakikisha kuwa reality show hii kubwa zaidi Afrika inaendelea.” Wameeleza katika tamko lao.
Hakuna mtu aliyejuruhiwa katika tukio hilo.

Haya ni maelezo waliyoweka kwenye website yao:
M-Net and Endemol SA advise that due to a devastating fire at the Big Brother house on 2 September 2014, Big Brother Hotshots will not launch this Sunday (7 September) as schedule. The cause of the fire at this stage is unknown and investigations will commence as soon as it is safe to do so.
At this stage M-Net and Endemol are urgently looking for an alternative Big Brother house in which to film the production, however as this production has highly technical infrastructure, camera and edit requirements an alternative is not immediately available. Every effort will be made to find a solution as quickly as possible to ensure that Africa’s biggest reality show will continue.

Source:TIMES 105

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..