Skip to main content

"NOTI FLOW SINGING IS NOT YOUR CAREER GO AND SEARCH YOUR CAREER STOP MUSIC" VICTORIA MIMSH AFUNGUKA...Read more,


Mapema hii leo mtangazaji wakike anayeingia katika ulingo wa mziki mwaka huu alifunguka ya moyoni ambapo alikua katika kipindi cha MISTARI NA VINA kinachoongozwa na MWANAMFAA CAPTAIN ndani ya BARAKAFM.

 

Mtangazaji huyo anayejulikania kama VICTORIA MIMSH aliweza kusema kuwa msanii wakike anayeimba miondoko ya rap anayejulikana kama NOTI FLOW awachane na mziki sababu kuu ikiwa ni hawezikuimba na hio sio talent yake na kua analazimisha mziki ambapo mziki haulazimishwi "NOTI FLOW SINGING IS NOT YOUR CAREER SEARCH YOUR CAREER BECAUSE YOUR NOT GOOD IN SINGING"tuliweza kumnukuu akisema hayo kupitia kipindi cha mistari na VINA NA VINA, alendelea na kusema kumwambia kuwa atafute kazi nyengine afanye kwani anatumia pesa zake kufanya video kubwa kubwa lakini kuimba ndiko kuna muangusha.

Victoria aliweza kumwambia aangalie wenzake kama PETRA na WANGECHI wanavyo fanya miziki yao na mtindo ni mmoja

Hii ni moja wapo ya video ya msanii NOTI FLOW patakuitzama hapa.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..