"VIDEO YA "KATIKA" IMENIGHARIMU 3.5MILLION PESA TASLIM ZA KENYA" AKOTHEE ASEMA KATIKA KITUO CHA EATV TANZANIA..soma hapa ziaidi.
Baada ya kuiachilia video yake mpya jijini Nairobi inayojulikana kama KATIKA msanii wakike anayekuwa kwa kasi kutoka Mombasa ya Kenya ESTHER AKOTHE almaarufu kama AKOTHEEE hakutosheka na hapo bali pia aliweza kutinga ndani ya nchi ya Muhushimiwa JAKAYA MRISHO KIKWETE Tanzania ilikuiachia katika vituo vya Televisheni vilivyo umo.
Akothee aliweza kufika Tanzania na kuiachia video yake KATIKA katika vituo vya televisheni zaidi ya vitatu ikiwemo EATV,CLOUDSTV na vyenginevyo, katika mahojiano na watanhazaji wa EATV Akothee alidai kuwa video yake mpya imeweza kumgharimu takriban shilingi milioni tatu na nusu pesa taslim za nchini Kenya ambapo aliifanya na director HAMZA wa ONEPOINT MONTAGE ambapo video hio iliweza kufanyiwa Zurich Swiziland.
Hizi ni Baadhi ya picha tulizozipata akiwa anaachia lia Vdeo yake mpya kwatiaka EATV.
Uanaweza kuitazama video ya KATIKA hapa...
Hizi ni Baadhi ya picha tulizozipata akiwa anaachia lia Vdeo yake mpya kwatiaka EATV.
Uanaweza kuitazama video ya KATIKA hapa...
Comments
Post a Comment