Baada ya kupiga kimya cha mtu mzima best vocalist SUDI BOY akiwa na WAHU wamerudi katika masikio yako pamoja na kioo chako wakiwa pamoja na Staboy Dj CREME DE LA CREME.
Vichwa hivi vitatu vimekutana ndani ya studio za HOMEBOYS PRODUCTION na kutengeneza kitu kikali kinachokwenda kwajina HADI LINI,Video imeongozwa na kampuni ya MISTARI ambayo iko chini ya CALVO MISTARI.
HADI LINI ni wimbo unaozungumzia maisha ya ndoa ambapo mwanaume anakanywa na mkewe kufanya mambo yake yasio eleweka ambapo hio ni pamoja na anasa za dunia pamoja na kusahau familia yake,akaachiwa dunia ndipo dunia ikamfunza na sasa anarudi kwa mke wake akiomba msamaha ili warudiane ili kuishi kama zamani
Tazama video hio hapa chini.
Comments
Post a Comment