Hii leo katika bahari Hindi Meli iliyokuwa imebeba madawa ya kulevya aina ya HEROIN yaliyo na dhamani ya Billion Moja "Sh1bn"imeharibiwa deep seea baada ya agizo hilo kutolewa na Rais Uhuru Kenyatta.
Wakati huo huo Meli hio ikiharibiwa Rais alikuwa juu ya ndege akiitizama Meli hiyo ilivyo kuwa inateketea huku washukiwa waliokuwa wamebeba madawa hayo wakiwa bado wamezuiwa katika Port police Station Mombasa.
Hii ndio picha ya Meli hio ikiwa inateketezwa.
Wakati huo huo Meli hio ikiharibiwa Rais alikuwa juu ya ndege akiitizama Meli hiyo ilivyo kuwa inateketea huku washukiwa waliokuwa wamebeba madawa hayo wakiwa bado wamezuiwa katika Port police Station Mombasa.
Hii ndio picha ya Meli hio ikiwa inateketezwa.
Pic By Elakana Jacob.
Comments
Post a Comment