MSANII BENSO ALIPATA KUACHIA UJIO WAKE MPYA AKIWA AMESHIRIKIANA NA MSANII WA KIKE ANAYEJULIKANA KAMA MISS GG...Skiza hapa!!
Msanii anayejulikana kama Miss GG ndiye msanii wa kwanza wa kike kutambulishwa na Msanii Benso ambapo walitoa wimbo wao wa kwanza uliojulikana kama PHONTHO ambao uliweza kufanya vizuri sana katika vituo mbali mbali vya T.V na Radio hapa nchini.
Benso amerudi tena na kuvunja ukimya wake akiwa kwa mara hii ameshirikishwa na msanii wa wakike aliye na sauti ya mnato na mvuto zaidi anayejulikana kama MISS GG,Msanii huyo ambali na kuwa ni msanii wa ku-record pia huimba na Band sehemu mbali mbali humu nchini,na kwa sasa wasanii hao wamerudi tena na ujio wao mpya unaojulikana kama I DO.
Tukiongea na wasanii hao walidai kuwa video ya wimbo huo wao iko njiani na inaweza kuwa nje hivi karibuni kwa hivyo mafans wao wakae mkao wa kula.
Skiza Wimbo huo hapa!!
Comments
Post a Comment