Skip to main content

MWANAMITINDO AYASHTAKI MAKAMPUNI KWA KUONESHA SEHEMU ZAKE ZA SIRI KATIKA T.V SHOW.

Mwanamitindo Jessie Nizewitz ambaye alikuwa kati ya wasichana waliokuwa kwenye mashindano ya series ya ‘Dating Naked’ amefungua mashitaka dhidi ya makampuni yanayowezesha show hiyo kwa kurusha vipande vinavyomuonesha akiwa mtupu bila kuficha sehemu zake za siri.
Katika shitaka hilo, Jessie anadai fidia ya $10 million kutoka kwa makampuni ya Viacom, Firelight Entertainment, Lighthearted Entertainment kwa kushindwa kuficha kwa kuweka blur kwenye maeneo ya sehemu zake za siri kama walivyokubaliana awali.
“Ingawa niliingia kwenye shindano hilo nikijua kuwa ningeshuti nikiwa mtupu, niliambiwa kuwa sehemu zangu za siri zingefichwa kwa kuwekewa blur kwa ajili ya show ya TV…hata washiriki wengine hawakutegemea kuona hivyo.” Alisema Nizewitz.
Kipande cha show hiyo kinachomuonesha mwanamitindo huyo kilirushwa July 31 mwaka huu.

SOURCE:Times100

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..