Hapo jumamosi mtzangzaji wa Pwanifm DAVID MTANA anayekuwa katika kipindi cha Uchambuzi wa Magazeti akiwa na Mkanyika Jilo aliweza kupeleka mahari ambapo kwasasa amekamilisha na pingu za maisha watafunga hivi karibuni hizi ni baadahi ya picha zake katika sherehe hio akiwa na mkewe anayetambulikaka kama SALLY KADZO.
Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.
Comments
Post a Comment