Skip to main content

EXCLUSIVE:DOWLOAD WIMBO MPYA WA SHINEY AKIWA AMEMSHIRIKISHA DAZLAH KIDUCHE UNAOJULIKANA KAMA "ILINGI" Download apa

Shiney ni msanii wakike ambaye yuko chini ya studio ya produza BAINDO yaani BIGFOOT PRODUCTION ambapo alikuletea nyimbo kama KILIO na nyenginezo.

Kwa mara hii msanii huyo wa kike kutoka hapa mkoani amekuja tena na ngoma ambayo inaendelea kugusa nyoyo za wengi inayojulikana kama "ILINGI"  ambapo amemshirikisha hit maker wa BANGEREBA anayejulikana kama DAZLAH KIDUCHE.

Pata kuskiza nakudownload wimbo huo hapa chini...

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..