EXCLUSIVE:DOWLOAD WIMBO MPYA WA SHINEY AKIWA AMEMSHIRIKISHA DAZLAH KIDUCHE UNAOJULIKANA KAMA "ILINGI" Download apa
Shiney ni msanii wakike ambaye yuko chini ya studio ya produza BAINDO yaani BIGFOOT PRODUCTION ambapo alikuletea nyimbo kama KILIO na nyenginezo.
Kwa mara hii msanii huyo wa kike kutoka hapa mkoani amekuja tena na ngoma ambayo inaendelea kugusa nyoyo za wengi inayojulikana kama "ILINGI" ambapo amemshirikisha hit maker wa BANGEREBA anayejulikana kama DAZLAH KIDUCHE.
Pata kuskiza nakudownload wimbo huo hapa chini...
Kwa mara hii msanii huyo wa kike kutoka hapa mkoani amekuja tena na ngoma ambayo inaendelea kugusa nyoyo za wengi inayojulikana kama "ILINGI" ambapo amemshirikisha hit maker wa BANGEREBA anayejulikana kama DAZLAH KIDUCHE.
Pata kuskiza nakudownload wimbo huo hapa chini...
Comments
Post a Comment