Msanii maarufu wa hapa Kenya, Huddah Monroe amezindua vazi lake jipya kwa staili ya kipekee na ya aina yake.....
Katika uzinduzi huo, mrembo huyo ameamua kujianika hadharani akiwa uchi wa mnyama, juu akiwa amevaa vazi lake jipya alilolizindua.
Katika uzinduzi huo, mrembo huyo ameamua kujianika hadharani akiwa uchi wa mnyama, juu akiwa amevaa vazi lake jipya alilolizindua.
Picha hiyo ilisindikizwa na ujumbe usemao: "Everyday above ground is a blessing . What Jah bless , No man curse! "
Baadaye akaweka picha nyingine yenye ujumbe TATA Usemao: "No fat Zone! Take ya lame ass to the gym and let the ones who got bodies to show off - Show it off! ����. As long as my VAGINA is not showing , you are the one who is naked! ��"
Hizi ni picha za mrembo huyu akiwa ndani ya vazi hilo
Comments
Post a Comment