Skip to main content

HIZI NDIZO NYIMBO KUMI KALI ZINAZO TATIZA ANGA YA PWANI...Tizama hapa upate kujua..




Hapa mkoani pwani kulingana na vituo tofauti vya radio na mitandao tofauti hizi ndizo nyimbo inazochafua anga ya mkoa  huu ukuzikiwa na wingi wa mashabiki.

Ndizo hizi hapa chini

10-ohmz law montana ft simple boy-poleni

09-Lypso ft churchil n various artistl-mdogo mdogo remix


08- sudi boy ft amelina-n
aona bado 

07-sleem g-mama


06-miss gg ft benso-l do


05-shelphad-mdogo mdogo


04-Dogo richie-Hayana mjuzi


03-dazlah-bangereba


02-amourybeiby ft nyota-baridi


01-jovial-chanda chema



 

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..