Skip to main content

KITENDO CHA WAGENI WALIOMO NCHINI SOUTH SUDAN KUFURUSHWA CHAMKASIRISHA MSANII BEBE COOL KUTOKA UGANDA...SOMA ALICHO KIANDIKA HAPA


Msanii kutoka nchini UGANDA anayefahamika kama BEBE COOL akasirishwa na onyo liliotolewa na nchi ya SOUTH SUDAN kuwa wageni ama wafanye kazi wote waliomo nchini uko wahame na kurudi katika nchi zao ambapo walidai kuwa wanaweza kujifanyia kazi wenyewe kwasasa.

Kitendo hicho kimemkasirisha BEBE COOL hadi kuandika ujumbe wa uchungu kupitia ukurasa wake wa facebook ambapo alidai kuwa hataki kuona mwananchi yeyote kutoka taifa hilo akihudhuria tamasha lake popote pale.

Soma alichokiandika hapa


Hii ni baada ya taifa hilo kuagiza wafanyekazi wote waliomo katika nchi hio kuhama pindi itakapo fika tarehe kumi na tano mwezi wa kumi mwaka huu.



Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..