Skip to main content

MTANGAZAJI WA PWANIFM DAVID MTANA WA MWARINGA HUENDA AKAWANIA KITI CHA WARD-REP MWAKA WA 2017..soma zidi hapa




Mtangazji wa PwaniFm kwenye kipindi cha Uchambuzi wa magazeti na swala Nyeti kinachoendeshwa na David Mtana Wa Mwaringa akiwa na Mkanyika Jilo kila Asubui,Mwaringa huenda mwaka 2017 akawania kiti cha Ward ya KAMBE VITUNI ambapo ni eneo anapoishi.

Mwaringa alidhibitisha haya katika mtandao wake wa Facebook mapema wiki iliyo pita nayo THE GREAT MULLEY ililivalia njuga swala hilo lake na kumfuata hadi anapofanya kazi ili kujua kwamba ni kweli ama ilikuwa ni matana.

THE GREAT tulipata nafasi yakumuhoji mtangazaji huyo na kufunguka ya kuwa yeye hana utani wowote na swala hilo na ameamua kuwa atagombea kiti hicho tulimuuliza ni nini haswa kilicho mvutia hadi kutaka kuwania kiti hicho "HILI SWALA SIO ATI MIMI NDIO NATAKA TU ILA NI WANACHI WA KAMBE VITUNI DIO WANATAKA NIPIGANIE KITI HICHO NA KUTAKA NIWAOKOE KATIKA JANGA WALILIOMO KWASASA MAANA WANANIAMBIA IKIFIKA MWAKA WA KURA MAMBO YATAKUWA YAMEHARIBIKA ZIDI HIVO BASI KUTAKA MIMI NIGOMBEE KITI HICHO NI OPINDI NIKIINGIA MAMLAKANI BASI SITAWATUPA MAANA WAO NDIO WANANITAKA SITAWEZA KUWATUPA NA NITAHAKIKISHA ELIMU KATIKA ENEO LILE IMEIMARIKA ZIDI NA MAENDELEO YATAKUWA MENGINE KWA MAANA ENEO LILE NAONA WATU WANATESEKA SANA NA WABUNGE WAKO KULE NA MIMI NINAAMINI KUWA NAWEZA KAZI HIO, NA NITATEKELEZA MATAKWA YAO KAMA VILE VISIMA VYA MAJI AMBAPO VIKO HATUO NDEFU SANA IVO BASI NAONA WAKIPATA SHIDA SANA" Alisema hayo.

David aliweza kutwambia kuwa yeye alikua na azima ya kuwania kiti chochote katika serekali na kutoa maendeleo katika nchi hii wiki ilio pita mtangazji huyo aliweza kuandika haya kupitia mtandao wake "Nataka kuwa kiongozi mwenye siasa safi, siha njema na bongo kali, na kujinyima kwa maslahi ya umma ili kuleta maendeleo mashinani......Mtana wa Mwaringa (ward-rep) kambe/Ribe ward 2017" Aliweza kuandika hayo.




Mwaringa akiwa na mke wake Sally Kadzo

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..