Msanii wa nyimbo za kumsifu na kumutuza mwenyezi Mungu anayejulikana kama KEVIN BAHATI alamaarufu kama BAHATI huenda hivi karibuni akaachilia nyimbo yake akiwa ameshirikiana na star wa Bongo NASSIB ABDUL ukipenda DIAMOND PLATNUMZ.
Ikiwa huenda Colabo hio itakuwa imeunganishwa na mtangazaji anayekubalika sana katika radio station kutoka hapa Kenya anayetambulika kama MZAZI WILLY TUVA,tukikumbuka pia mwaka jana Tuva aliweza kumleta msanii Diamond kutoka Tz na kumfikisha mpaka kwa Willy Paul na kuhaidi kuwa watafanya Colabo na msanii huyo wa nyimbo za injili lakini hadi wa leo mashabiki wa Willy Paul na Diamond Platnumz wamekuwa wakisubiria colabo hio lakini hadi sasa wameambulia kungoja.
Inasemekana kuwa Willy alishindwa kumiliki kiwango cha hela alizozihitaji bwana Diamond ili kuimba pamoja je hii nyengine ya Bahati itafanikishwa?
Kupitia ukurasa wake wa facebook Tuva aliandika ivi "#Mseto411: MZAZI WILLY M TUVA INTRODUCES BAHATI { @Bahatikenya } TO EAST AFRICA'S FINEST DIAMOND PLATNUMZ { @diamondplatnumz } >>>> Last Night Somewhere in Nairobi Popular TV/Radio Presenter @mzaziwillytuva introduced one of the Fastest Rising Stars in Kenya BAHATI { @bahatikenya } to one of East Africa's Finest Stars DIAMOND PLATNUMZ. Diamond and His Manager BABU TALE who are currently in the country courtesy of #CokeStudioAfrica were very impressed by Bahati's Songs Mostly 'Barua'. "Huyu akiwa Marketed vizuri nje ya Kenya kwanza huu wimbo wake Barua,ata hit sana maana kiukweli anaweza" DIAMOND added. Bahati who is currently riding high with his New Song #Visanga felt very Motivated and appreciated. BAHATI has what it takes to Break into East Africa and Africa Market as a whole, Let's all Support @bahatikenya'' Mzazi aliandika hayo.
Comments
Post a Comment