EXCLUSIVE: DOWNLOAD "SITOWEZA" MAFIMBO MFALME FEAT MIKE BWAX....get it here..
Kama ukimsikiza katika kipindi chake Pwanifm Tafrija Select Afrika utaweza kushtuka kwamba Munga Arnold ukipenda MAFIMBO MFALME ndiye aliyeimba wimbo huu wa SITOWEZA ambao ni wa kumtukuza Mungu.
Munga kando ya kuwa yeye ni presenter pia ni muimbaji katika kundi la THE GREAT MUNGAS ambayo kwasasa yuko pekeake na katika wimbo huu msanii huyo ama presenter amemshirikisha Mike Bwax wa kundi la BIBLIZERS KENYA.
Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.
Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.
Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..
Comments
Post a Comment