EXCLUSIVE PHOTOS: KAMA ULIKOSA TAMASHA LA JANA STARDUST MALINDI BROWN MAUZO,AKOTHEE NA JITUZEE...pichandio hizi apa

Brown alipopanda juu ya jukwaa ma binti wote waMalindi walisimama na kuacha vinywaji vyao pasi kujuakuwa vingeliibiwa ama kupotea maana kila mwanadada alitaka japo acheze na msanii huyo anayejulikana kama MAUZO.
Naye anayetambulika kama mpenzi wake BROWN alipopanda jukwaani wanaume nao hawakujizuia hisia zao na kupanda juu ya jukwaa wakimwagia mwadada huyo noti za pesa mpaka akashindwacha kufanya.
hizi ndio baadhi ya picha za tamashahilo.
Comments
Post a Comment