EXCLUSIVE: PHOTOS OF BEHIND THE SCENE OF THE MAKING OF AIRE VIDEO BY KIGOTO MBONDE....see photos here
Kimya kingi kina mshindo baada ya msanii KIGOTO kuja kwa kasi na kuzima kama moto wa gasi ameregea tena na kwasasa atakuja katika kioo chako ambapo ni video mpya ambayo walikuwa wanaitengeza hapo jana katika jiji la Mombasa,
video hio ni ya nyimbo iliyotamba sana inayojulikana kama AIRE,Aire ni ngoma iliyo tamba sana katika mitaa na vituo vya radio hapa Kenya.
Video hio inatengenezwa na Director anayejulikana kama BECKO ambaye ndiye aliye fanya video ya SUSUMILA na CHIKUZEE "HIDAYA"
Pata kutizama picha hizo hapa...
Comments
Post a Comment