Skip to main content

EXCLUSIVE: PHOTOS OF BEHIND THE SCENE OF THE MAKING OF AIRE VIDEO BY KIGOTO MBONDE....see photos here





Kimya kingi kina mshindo baada ya msanii KIGOTO kuja kwa kasi na kuzima kama moto wa gasi ameregea tena na kwasasa atakuja katika kioo chako ambapo ni video mpya ambayo walikuwa wanaitengeza hapo jana katika jiji la Mombasa,

video hio ni ya nyimbo iliyotamba sana inayojulikana kama AIRE,Aire ni ngoma iliyo tamba sana katika mitaa na vituo vya radio hapa Kenya.

Video hio inatengenezwa na Director anayejulikana kama BECKO ambaye ndiye aliye fanya video ya SUSUMILA na CHIKUZEE "HIDAYA"

Pata kutizama picha hizo hapa...



























Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..