Skip to main content

EXCLUSIVE PICHA ZA MSANII AKOTHEE AKIWA ANAENDA KUMCHUKUA MTOTO WAKE SHULE AKITUMIA CHOPPER...Tizama picha hapa


Hii leo shughuli za usanii ziliekwa kando na kueka mambo ya familia mbele kwanza .
Msanii Akothee aliweza kuahudhuria tamsha la mtoto wake kwa aina yake ambapo aliweza kupelekwa katika tamasha hilo kwa kutumia ndege aina ya helicopter na kutua katika uwanja wa shule hio na watu kufikiria kuwa ni mwanasiasa ameingia bali alikua AKOTHEE hit maker wa PASHE na KATIKA.
Msanii huyo aliweza kutu dokezea haya "Nilikuwa sina jinsi kwani ili nilazimu niweze kuhudhuria sherehe zote mbili pasi na kumuudhi mtoto wangu wa kike kwa jina PRUDENCE amnbaye anasomea shule ya UTAWALA Hapa NAIROBI na pia kuhudhuria sherehe ya dadangu katika MOI UNIVERSITY maeneo ya ELDORET ambapo ilinibidi nieke vifaa vya uimbaji kando kidogo lakini nitarudi Nairobi hapo kesho Mungu akipenda" Tulimnukuu.

Pata kuzitizama picha hizo hapa..













Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..