Skip to main content

PRODUCER TEE AKIRI KUWA HAKUNA MANAGER MZURI WAKUMMILIKI DAZLAH HAPA KENYA....soma hapa zaidi..



Hapo jana katika kituo cha radio cha Pwanifm Producer Tee kutoka TEE HITS  aliweza kufunguka ya moyoni

Producer huyo aliweza kuulizwa anawaonaje hawa ma-manager wetu kutoka hapa Kenya na kuwa dai kuwa hakuna manager mzuri "Hawa manager wetu bado na sijapata kuona manager mzuri atakaye mmliki msanii wangu Dazlah ndio maana Candy and Candy walishindwa,mimi sitaki manager wakuwa atamfanyia video ya elfu ishirini alafu isemekane anammiliki Dazlah,ninachokitaka mimi ni manager wa kumfanyia Dazlah kama ni video ni Milioni kwenda mbele sio manager wa kumlipia Audio pekeake" Tee alisema.

Tee aliweza kuongeza kuwa hapa mkoani pwani msanii aliye juu wakwanza ni Dazlah wapili ni Sususmila na watatu Ally B,Tee aliweza kusawazisha fununu zilizokuwa zinaenea mtaani kuwa yeye alifunzwa kazi na Producer MOBIZ wa THURNDER SOUND alikanusha madai hayo na kudai kuwa yeye alienda THURNDER SOUND ki kazi sio kufundishwa alipoingia studio hizo yeye alikuwa ameiva tayari na alipotoka hapo ndipo akafungua studio yake na kuiita TEE HITS (TACH ZA MIBA).

Tee aliweza kuulizwa swali na Munga kuhusu msanii wakike aliyekuwa anammiliki kwa jina AZALIA na kudai kuwa wasanii wakike kutoka hapa mkoani ni changa moto lakini hakuzitaja changamoto hizo.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..