Msanii huyo wakike alidai kuwa account yake ya FACEBOOK ilikuwa imechukuliwa na mtu ,mwengine na sio yeye alieyeandika kuwa ameacha mziki,Rap Dem alizidi kujitetea na kudai kuwa watu wanmuharibia jina tu kwa kashfa zauongo hivyo basi ameamua kuingia katika studio za MWAMBA records kwa Noor kuddhibitisha kuwa yeye hajaacha mziki na hatowacha kamwe.
"Account yangu ndio ilikuwa ime hukiwa na ndugu yangu na kuandika kwamba mimi nimeacha mziki lakini mimi sijaacha mziki na sitowacha bado niko kwa game sana" Tulimnukuu akiyasema hayo katika anga za Pwanifm mapema hii leo
Comments
Post a Comment