Skip to main content

RAP DEM AKIRI KUWA HAJAACHA MZIKI KAMWE NA BADO YUKO KWA MZIKI SANA...soma alichokisema.


Msanii wa mtindo wa Genge anayetokea pande za Mombasa Kenya mapema hii leo alikuwa akihojiwa na MAFIMBO MFALME alidai kuwa yeye bado hajaacha mziki.

Msanii huyo wakike alidai kuwa account yake ya FACEBOOK ilikuwa imechukuliwa na mtu ,mwengine na sio yeye alieyeandika kuwa ameacha mziki,Rap Dem alizidi kujitetea na kudai kuwa watu wanmuharibia jina tu kwa kashfa zauongo hivyo basi ameamua kuingia katika studio za MWAMBA records kwa Noor kuddhibitisha kuwa yeye hajaacha mziki na hatowacha kamwe.

"Account yangu ndio ilikuwa ime hukiwa na ndugu yangu na kuandika kwamba mimi nimeacha mziki lakini mimi sijaacha mziki na sitowacha bado niko kwa game sana" Tulimnukuu akiyasema hayo katika anga za Pwanifm mapema hii leo

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..