Skip to main content

DIAMOND PLATNUMZ AJIBU BARUA ALIYOANDIKIWA NA MSANII MEDA..PATA KUJUA ALICHOKISEMA DIAMOND KUHUSU MSANII HUYO





Hivi majuzi msanii kutoka Bongo/Tz anayefahamika kama MEDA ametunga wimbo wake akimuimbia msanii mkubwa Africa hit maker wa MY NUMBER ONE anayejulikana kama DIAMOND PLATNUMZ.



Meda inasemekana kuwa anamkubali Diamond na kwamba huko kwao Iringa yeye ndio balozi wa Diamond, alipitia tabu sana kumtafuta miaka miwili iliyopita na sasa amefanya wimbo huu kama zawadi kwake na pia kuonyesha anavyo mkubali.


Wimbo wake huo uliojulika kama BARUA KWA DIAMOND aliweza kuuachia mapema wiki hii ambapo pia ukimtazama msanii MEDA vizuri anafanana na msanii huyo aliyeandikiwa barua yaani DIAMOND,mbinu za msanii huyo kumtafuta DIAMOND zilifua dafu pale NASSIB alikaa chini na kuuskiliza wimbo huo na ukamgusa kiasi cha kuwa hakuvumilia na kuingia katika mitandao yake na kumjibu msanii huyo baru yake.

Hapo jana kupitia mtandao wake wa Instagram DIAMOND alisema haya.

“Kiukweli simfahamu... Sijawai hata kumuona, Wala kuzungumza nae.....na sio kwasababu Eti kaniimba mimi, hapana!... ila ni userious na uzuri wa kazi aliyoifanya ndio vimenifanya nione ni vizuri kumleta kwenu hapa wadau ili kwa pamoja tumsupport naye kesho na keshokutwa afikie malengo ya kazi yake na kuwa Balozi mzuri wa nchi yetu kupitia Bongo flavour..Huyu hapa! Anaitwa MEDA kutoka IRINGA” Hayo ndio aliyasema kupitia Instagram mapema jana.

Tizama video hio ya MEDA "BARUA KWA DIAMOND" hapa

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..