Skip to main content

NYOTA NDOGO ACHUKIZWA NA KITENDO CHA KUVULIWA NGUO KWA WANAWAKE OVYO OVYO.......soma alicho kisema hapa.



Huku maandamano ya wanawake yakiendelea katika miji mbali mbali nchini Kenya kwasababu ya wanawake kuvuliwa nguo msanii kutoka hapa Kenya Nyota Ndogo amekishutumu kitendo hicho na kudai kuwa pia wanaume wanao vaa surua milegezo wavuliwe pia.



Mapema hii leo msanii huyo ameonekana katika mtandao wa Twitter akitupia maneno ya uchungu kufuatia kitendo haya ndio baadhi ya maneno...

1."KILA SIKU WEWE NDIO MUAMUZI WA MAISHA YAKO.MENGINE MUACHIE MWENYEZI MUNGU.UKITAKA KUVUTA BANGI PIA YANAMAISHA YAKE.MUAMUZI NI WEWE"
2."Bora kumpiga makofi mawali kama ilikua lazima kumuadhibu kwakuvaa nguo fupi.lakini sio kumvua nguo hadharani."
3."WANAUME WANAO VAA MA JEANS YAKUBANA PIA WAVULIWE.WANAO VAA NGUO ZINAZOITWA MUHARISHO YANI MATAKO NJE PIA WAVULIWE.ETI SWAGA SWAGA GANI.VUA"



Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..