Msanii wa Hip Hop anayejulikana kama CYPREEZY "KICHWA CHA MISTARA" anayetamba na ngoma yake mpya kwa jina NIACHE NIKUPENDA wikendi hii ameachia video nyengine inayojulikana kama OH MAMA ambapo wimbo huo ukiuskiza kwa mbali utafikiria ni wimbo wa TREY SONG lakini Cypreezy ameimba kiswahili sanifu.
Video hio imetengenezwa na director BILLY OGADA almaarufu kama BEEBWAX.
Pata kuitazam video hio hapa...
Comments
Post a Comment