Akothee amerudi tena katika kioo chako na muda huu amekuletea kitu tofauti ambapo ni wakati tu mchache uliopita ameachia video yakempya inayojuliana kama DJELE DJELE.
Msanii huyo wakike anayekuja kwa kasi sana katika tasnia hii ya mziki alikuletea nyimbo kama KATIKA na PASH nyimbo hizo ambazo ndio zilimtambulisha katika kinyang'anyiro hichi cha mziki na kuweza kunga'aa zaidi, hapo nyuma kidogo tulikuachia exclusive picha za video hio mpya ikiwa inatengenezwa na kwasasa video hio imeachiliwa rasmi.
Wimbo huo umetengenezwa katika studio za KAY-G RECORDS cini ya producer mkubwa na mkongwe anayejulikana kama TOTTI na video hio kama tulivyo kuharifu hapo nyuma ilitengenezwa na kampuni ya ONE MONTAGE iliyochini ya mtayarishi HAMZA OMAR.
Pata kuitazama videohio hapa..
Msanii huyo wakike anayekuja kwa kasi sana katika tasnia hii ya mziki alikuletea nyimbo kama KATIKA na PASH nyimbo hizo ambazo ndio zilimtambulisha katika kinyang'anyiro hichi cha mziki na kuweza kunga'aa zaidi, hapo nyuma kidogo tulikuachia exclusive picha za video hio mpya ikiwa inatengenezwa na kwasasa video hio imeachiliwa rasmi.
Wimbo huo umetengenezwa katika studio za KAY-G RECORDS cini ya producer mkubwa na mkongwe anayejulikana kama TOTTI na video hio kama tulivyo kuharifu hapo nyuma ilitengenezwa na kampuni ya ONE MONTAGE iliyochini ya mtayarishi HAMZA OMAR.
Pata kuitazama videohio hapa..
Comments
Post a Comment