Video iliyokua inangojewa imeachiliwa hii leo mida ya asubui ambapo video yenyewe ni wimbo unaojulikana kama MAPANYA ambapo katika wimbo huo umemshirikisha msanii wa HIP HOP anayejulikana kama KAA LA MOTO KIUMBE.
Video hio imetengenezwa katika maeneo ya Voi chini ya LIL GUY G ambapo katika video zote za msanii mkongwe hapa mkoani hii ndio inasemekana kuwa tishio zaidi maana imeandaliwa kivyake na tofauti kabisa.
Pata kuitzama hapa.
Video hio imetengenezwa katika maeneo ya Voi chini ya LIL GUY G ambapo katika video zote za msanii mkongwe hapa mkoani hii ndio inasemekana kuwa tishio zaidi maana imeandaliwa kivyake na tofauti kabisa.
Pata kuitzama hapa.
Comments
Post a Comment