Baada ya kuachia nyimbo wakiwa wamemshirikisha SUDI BOY na nyengine waliokuwa wamemshirikisha KIDIS, X-Mathare wamerudi tena katika maskio yako na round hii wamekuja wao kama kikundi na kuunda ngoma yao inayojulikana kama COCO DANCE.
Ngoma hio wameitengeneza katika studio za THURNDER SOUND chini ya produza mkali anayejulikana kama MOBIZ,tukizungumza na mmoja wao kuhusu video alitwambia kuwa video ya nyimbo hio itakuwa inatayarishwa mwisho wa mwezi huu wa pili ambapo alisema kuwa video hio itakuwa ni kubwa maana wana uchungu na ile nyengine wakidai kuwa walitapeliwa pesa na YOUNG WALLACE katika nyimbo ya KUCHE KUCHELE walio mshrikisha msanii KIDIS.
Pata kuskiza na ku download nyimbo hio hapa...
Comments
Post a Comment