Baada ya kimya kirefu msanii mkongwe wa Hiphop kutoka nchini Tanzania anayejulikana kama FID Q ama ukipenda CHEUSI DAWA ameamua kuvunja ukimya wake,
Hii ni baada ya hapo jana kuangusha video mpya ya nyimbo yake inayojulikana kama BONGO HIP HOP iliyoshikiwa Camera na director NISHER.
Pata kuitzama video hio hapa..
Comments
Post a Comment