Skip to main content

HII NISHEEEDAH!! UTAMADUNI WA INDONESIA AMBAPO MAITI WANAFUKULIWA NA KUBADILISHWA NGUO KILA MWAKA...Soma zaidi


Nchini Indonesia katika kijiji kimoja Maiti hufufuliwa kila mwaka na kubadilishwa nguo,zoezi hili hufanyika kila mwaka baada ya maiti kuzikwa na inasemekana kuwa wanafamilia ndio hufanya kazi hio ya kufufu maiti hao mara nyengine mtu anapofarika huwa wanamzika katika sehemu aliyo zaliwa na sio aliyokufia.

Kila baada ya mwaka humfufua na kumbadilisha mavazi ambapo hio ni sheria ambayo iko katika moja ya mila za kwao, Sasa kama wewe huwezi songelea maiti basi kwa wenzako wanazifufua na kuzibadilisha nguo kwa kila mwaka.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..