HII NISHEEEDAH!! UTAMADUNI WA INDONESIA AMBAPO MAITI WANAFUKULIWA NA KUBADILISHWA NGUO KILA MWAKA...Soma zaidi
Nchini Indonesia katika kijiji kimoja Maiti hufufuliwa kila mwaka na kubadilishwa nguo,zoezi hili hufanyika kila mwaka baada ya maiti kuzikwa na inasemekana kuwa wanafamilia ndio hufanya kazi hio ya kufufu maiti hao mara nyengine mtu anapofarika huwa wanamzika katika sehemu aliyo zaliwa na sio aliyokufia.
Kila baada ya mwaka humfufua na kumbadilisha mavazi ambapo hio ni sheria ambayo iko katika moja ya mila za kwao, Sasa kama wewe huwezi songelea maiti basi kwa wenzako wanazifufua na kuzibadilisha nguo kwa kila mwaka.
Comments
Post a Comment