Skip to main content

MSANII WAKIKE NOTI FLOW AVUJISHA PICHA ZA NUSU KATIKA MITANDAO| Soma hapa na utizame picha


Katika pitepite zetu za kweye mitandao leo hii tumezuru katika kurasa zake msanii NOTI FLOW ambaye ni msanii wakike anayefanya mziki wa kuchana.

Noti Flow kwasasa yuko jijini Nairobi kuendeleza muziki wake lakini leo hii ameacha watu wengi wakiwemo mashabiki zake midomo wazi pale aliptupia picha za nusu uchi katika mitandao yake ya Facebook pamoja na Instagram ambapo amekua akiangusha picha moja baada ya nyengine kila uchao.

Tuliwea kumvutia nyaya za simu ili kumuuliza lakini shambulio letu liligonga mwamba maana hakuweza kushika simu wala kuonea na sisi, Swali ni je mziki umemshinda na kuingilia mambo ya mitindo? (MODELLING).

Hizi ndio baadh ya picha tulizozinasa..




Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..