Noti Flow kwasasa yuko jijini Nairobi kuendeleza muziki wake lakini leo hii ameacha watu wengi wakiwemo mashabiki zake midomo wazi pale aliptupia picha za nusu uchi katika mitandao yake ya Facebook pamoja na Instagram ambapo amekua akiangusha picha moja baada ya nyengine kila uchao.
Tuliwea kumvutia nyaya za simu ili kumuuliza lakini shambulio letu liligonga mwamba maana hakuweza kushika simu wala kuonea na sisi, Swali ni je mziki umemshinda na kuingilia mambo ya mitindo? (MODELLING).
Comments
Post a Comment