PROMOTA WA MUZIKI NA BABA WA WASANII KUTOKA HAPA MKOANI AZUILIWA NA POLISI KATIKA BODA YA KENYA NA TANZANIA...Soma zaidi hapa
Wengi wanamjua kama promoto wa mziki na wachache wanamjua kama mwanabiashara SAIDI GANGWE MICHARAZO wiki iliyopita aliwea kuzuiliwa katika Boda ya Kenya na Tz ambapo alikua anaingia katika nchi jirani ya Tz kuendeleza biashara yake.
Tukiongea naye Gangwe aliweza kukashifu kitendo hicho cha yeye kuzuiliwa na
polisi wa nchi jirani ambapo aliweza kushushwa katika gari yake aliokua nakuvuliwa kila
ikiwemo mshipi wa suruale,Kofia pamoja na viatu na kuekwa korokoroni kwa mda wa
masaa kumi na mbili huku akiambiwa alipe 500USD ambapo ni takriban ya elfu
hamsini pesa za Kenya chanzo kinasemekana kuwa Gangwe hakuwa na na kitabu cha
sindalo ya kujizuilia magonjwa tofauti katika nchi hio.
Kumbuka Gangwe Mzazi ndiye aliyekuwa Promota wa wasanii kama RudeBoys pamoja na C-New.
Comments
Post a Comment