Kupitia ukurasa wa anayesimamia KAKA EMPIRE tunayemjua kama KAKA SUNGURA (RABBIT) kupitia ukurasa wake wa faebook mapema leo hii aliweza kudhibitisha rasmi kuwa wamemsajili hit maker huyo wa ROHO YANGU,Rabbit aliweza kuandika haya
He has joined one of the biggest and fastest growing artiste management stable in Kenya. Kaka Empire will be managing Rich Mavoko's affairs in Kenya. Mavoko joins Rabbit, Avril, Femione, Owago and Raj at Kaka Empire. Karibu Rich Mavoko." Aliweza kuandika hayo.
Kumbuka ni wiki mbili tu zilizopita ambapo wawili hao waliweza kuachia mzigo wao mpya unaojulikana kama "NJOO" pamoja na video yao.
Comments
Post a Comment